Coding the Future

Tiba Ya Uchawi Kijicho Husda Kwa Kutumia Majani Ya Mkunazi

tiba Ya Uchawi Kijicho Husda Kwa Kutumia Majani Ya Mkunazi
tiba Ya Uchawi Kijicho Husda Kwa Kutumia Majani Ya Mkunazi

Tiba Ya Uchawi Kijicho Husda Kwa Kutumia Majani Ya Mkunazi #izzuddin #zvponlinetv #mombasa. Jun 4, 2014. 4,988. 4,519. may 24, 2018. #1. ili uweze kutoa uchawi kwenye mwili: kitu cha kwanza ni kujua kama umelogwa au umelaaniwa na mtu: tizama kama kuna mtu ana sababu ya kukuloga. pima kwanza sababu uliyonayo inayoweza kumpelekea mtu kukuloga au kukutia laana (kijicho).

tiba ya Maji ya mkunazi kwa Waathirika Wa husda kijicho ођ
tiba ya Maji ya mkunazi kwa Waathirika Wa husda kijicho ођ

Tiba Ya Maji Ya Mkunazi Kwa Waathirika Wa Husda Kijicho ођ Chukua majani ya mkunazi yaanike kivulini, kisha yasage yawe unga laini. tia kijiko kimoja kwenye maji kikombe kimoja mara tatu kwa siku 15. au, yaoshe majani mabichi na uyasage hadi yalainike iwe kama juisi. kunywa kikombe kimoja mara tatu kwa siku 15. mimina kikombe kimoja cha juisi ya mkunazi kwenye maji kisha uoge kwa siku 15. Faida za maji ya majani ya mkunazi. 7:21:00 am tiba za asili. faida ya maji ya majani ya mkunazi. kwa wale wote wanaosumbuliwa na maradhi ya kichawi. yani magonjwa yanayotokana na uchawi. au wanaosumbuliwa na wachawi kwenye nyumba, shamba au biashara (yani chuma ulete) ufumbuzi umepatikana. tumia majani ya mkunazi. Faida ya mkunazi 1. majani yake ukiloweka na kuogea iwapo utasomea aya za qur aan basi utaepukwa na kukaliwa mbali majini aina 10 wakorofi ambao ni a jalwush b ummu muldami c ankis d ghaughaan e bedui bidwaan f makata wa makatani g maymuna l hind’ h zawaabil i atruush j subyaan majini hao kamwe hawata mdhuru tena mtu kwa uwwzo wa mwenyezi. Anaweza pia mtu kutumia dawa za asilia zinazojulikana kuponyesha maradhi mfano kutokana na mitishamba, mbegu n.k. ambazo zimetajwa katika kitabu cha twibbun nabawiy (tiba ya nabiy swalla allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) cha imaam ibnul qayyim (rahimahu allaah) na ‘ulamaa wengineo. tiba makhsusi ya sihri (uchawi) kwa kutumia majani ya mkunazi:.

Comments are closed.